Katibu mkuu wa kongamano hilo Bw. Cheng Zhigang amesema, tangu lianzishwe, kongamano hilo limetoa ushauri kwa mashirika zaidi ya 500 ya China na Afrika, na kongamano la tatu litatoa mchango kwa ajili ya kutafuta fursa na njia mpya za ushirikiano kati ya China na Afrika.www.hakileo.blogspot.com
No comments:
Post a Comment
TOA MAONI YAKO HAPA