Pages

Saturday, November 30, 2013

NYERERE AKUTANA NA NDULI IDI AMIN!

Nduli Idi Amin Dada Oumee (kushoto) akisalimiana na Mwalimu Julius Nyerere kwenye mojawapo ya vikao vya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU wakati huo) baada ya Amin kumpindua Dk. Milton Obote wa Uganda.

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA