Pages

Monday, December 9, 2013

Ziara ya Dr. Slaa kijiji cha janda, kigoma, inaendelea

Ziara inaendelea, hapa ni Kijiji cha Janda, Jimbo la Manyovu, wilayani Buhigwe, mkoani Kigoma. Leo ni siku ya 5, mikutano 10 hadi sasa, majimbo 5 kati ya 8 ya mkoa wa Kigoma. Mkutano wa pili unaendelea eneo la Mnanila, Jimbo la Manyovu, wilayani Buhingwe.

Dr Slaa akihutubia wananchi wa kijiji hicho, ukiwa ni mkutano wake wa kwanza kwa leo


Dkt. Slaa anajumuika kucheza ngoma ya wenyeji waliomkaribisha kwa bashasha

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA