Pages

Friday, April 25, 2014

TAZAMA PICHA MBALIMBALI ZA BUNGE LA KATIBA LEO KABLA HALIA HAIRISHWA.


www.hakileo.blogspot.com
Spika Mh. Sita pamoja na makatibu wake wakifwatilia jambo
Mbunge wa bunge hili malumu la katiba Ezekiel Olouchi akichangia marekebisho ya kanuni mapema leo asubuhi kabla ya bunge hili kuhairishwa
Mbunge /mjumbe wa bunge hili Bakari Makame akichangia marekebisho ya kanuni leo asubuhi
Mumbe Andrwea Chenge akichangi marekebiso ya Kanuni


HIVI NDIVYO SPIKA ALIVYO INGIA


Wkwanza kulia ni waziri mkuu wa Tanzania M Pinda akiteta ambo na Godfrey Zambi


Avoid Mmanda kiongozi wa kamati ya kanuni na mjumbe wa bunge hili akiwasilisha marekebisho ya kanuni leo Bungeni

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA