Pages

Wednesday, March 11, 2015

BASI LA MAJINJA KUTOKA MBEYA LAPATA AJALI CHANGALAWE MAFINGA LAUWA WATU 42.



Ajali mbaya sana imetokea changalawe Mafinga express, basi la Majinja lilikuwa linatoka Mbeya kulelekea Dar es salaam limeangukiwa na kontena

Idadi kubwa ya abiria wa basi hilo wanakadiriwa kufariki dunia papo hapo baada ya basi hilo la Majinja Express kugongana na lori na kuangukiwa na kontena

Na watu waliopoteza maisha ni 42,baadae tutakuletea habari kamili

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA