Pages

Monday, March 16, 2015

Tazama Picha za tukio la Moto Mabibo Hostel Dar





Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuhusu tukio la moto katika Hostel za Mabibo ambapo wanaishi wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam.

Taarifa za awali zinasema kuwa chanzo cha moto huo ni shoti ya umeme, hakuna taarifa ya mtu yoyote kuathirika na moto huo mpaka sasa.

Naendelea kufuatilia tukio hili, nitakufikishia taarifa yote muda wowote kuanzia sasa pamoja na picha zaidi.





No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA