Pages

Wednesday, July 29, 2015

NDUGAI ADAIWA KUMPIGA MGOMBEA MWENZAKE NA KUZIMIA KURA ZA MAONI CCM LEO.

Harakati za kura za maoni za chama cha CCM - katika jimbo la Kongwa mkoani Dodoma, Naibu Spika wa Bunge , Job Ndugai anadaiwa kumpiga mgombea mwenzake, ambaye kazimia na kukimbizwa hospitali.

No comments:

Post a Comment

TOA MAONI YAKO HAPA