Diamond anaendelea na ujenzi, kaweka hizi picha nyingine

Diamond ni miongoni mwa wasanii wa bongofleva ambao wapo kwenye ujenzi wa makazi yao huku wengine tayari wameshamaliza na kuhamia ambapo mmoja wao ni staa wa ‘nani kamwaga pombe yangu’ Madee.

Kwenye ujenzi wa nyumba ya Diamond, nguvu zake nyingine kazielekeza kwenye ujenzi wa bwawa la kuogelea kama inavyoonekana kwenye hizi picha.

Wengine wanaojenga bado ni pamoja na Shilole.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company