Mez B alifariki Ijumaa ya February 21 2015 nyumbani kwao Dodoma baada ya kulazwa hospitali Dodoma zaidi ya mara nne toka mwishoni mwa mwaka 2014, tatizo kubwa lilikua ni kifua na mgongo ambapo Jumatatu ya February 23 2015 akazikwa kwenye makaburi ya Wahanga Maili Mbili Dodoma.
Mpaka anafariki Mez B hakuwa ameoa wala hana mtoto ambapo pia amefariki siku chache kabla ya kuachia single yake mpya kwenye Radio na TV. Baadhi ya Wasanii waliojitokeza kumzika ni pamoja na Dogo Janja na Raymond wa Tiptop Connection, Hemedy PHD, Gelly wa Rymes, Baba Levo, M2theP, Noorah na Dark Master kutoka Chemba Squad.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
tabasamu leo
-
[image: MICHEZO ,BURUDANI , INJILI]
Hutoa habari za aina mbali mbali ikiwemo habari za:
HABARI
- *MICHEZO*
- *BURUDANI*
- *INJILI*
*Haki hai...
KIJANA AUAWA KATIKA MZOZO WA MAPENZI
-
Polisi mjini Nairobi wanachunguza kisa cha mwanafunzi mmoja wa kidato cha
tatu anayedaiwa kumuua mwenzake kwa kumdunga kisu.
Tukio hilo lilifanyika siku ya...
Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari
-
Namna mdomo unavyoharibika kutokana na ngono kufanywa kwa kutumia mdomo.
Picha ya Maktaba.
Na Hadija Jumanne, Mwananchi
Jana ilikuwa siku ya Saratani Dun...