Raisi Jakaya M. Kikwete akiwasili kwenye uwanja wa Taifa wa Uhuru ili kuwaongoza watanzania katika maadhimisho ya miaka 52 ya uhuru wa Tanganyika. Tanganyika ilipata uhuru mwaka 1961 tarehe 9 Desemba. Watanzania wengi wamekusanyika kwenye uwanja wa Uhuru ili kuweza kuungana na watanzania wengine katika maadhimisho haya.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
6 years ago
