Mambo Yatakayosababisha Kura Yako Iwe "Imeharibika" au "Sahihi"

Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata..

Kura iliyoharibika ni ile ambayo:
Haina alama yoyote
Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja
Imeandikwa jina la mpiga kura
Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea
Haina muhuri wenye alama rasmi
Kura sahihi;

Yenye alama ya ‘v’ kwenye kisanduku
Yenye alama yoyote kwenye kisanduku/picha/ jina la mgombeaUtata
Kutakuwa na utata endapo utaweka alama iliyopitiliza kisanduku cha mgombea mmoja na kufika kwa mwingine. Epuka kuharibu kura. Kura yako, mustakabali wako
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company