Kura halali zitakazopigwa siku ya Jumapili kwa ajili ya kuwachagua viongozi kwenye Uchaguzi Mkuu zinaweza kuharibika ikiwa hazitapigwa kwa usahihi na kuondoa utata..
Kura iliyoharibika ni ile ambayo:
Haina alama yoyote
Imepigwa kwa wagombea zaidi ya mmoja
Imeandikwa jina la mpiga kura
Alama imewekwa nje ya kisanduku cha picha ya mgombea
Haina muhuri wenye alama rasmi
Kura sahihi;
Yenye alama ya ‘v’ kwenye kisanduku
Yenye alama yoyote kwenye kisanduku/picha/ jina la mgombeaUtata
Kutakuwa na utata endapo utaweka alama iliyopitiliza kisanduku cha mgombea mmoja na kufika kwa mwingine. Epuka kuharibu kura. Kura yako, mustakabali wako
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago