MASWALI MUHIMU KATIKA UJASIRIAMALI.

    
Je familia yako inakubaliana na bishara yako?
Je unapenda kuchukuwa maamuzi kwa haraka?
Unatumia muda wako vizuri?
Umewezaje kuifadhi fedha yako?
Umeudhuria washa yoyote kuhusu fedha?
Je upotayari kuisimamia bishara yako mwenyewe?
Je unaweza kuendelea kufanya biashara?
Je umejaribu kujadili wazo lako na mtu mwingine?
Unajua unahitaji fedha kiasi gani katika kuanzisha bishara yako?
www.hakileo.blogspot.
Umetunza fedha ya kutosha kuweza kuuanzisha biashara yako?
Je upo tayari kupoteza ama kupata hasara ya mapato ya kazi yako wewe mwenyewe?, kwa kujua au kwakuto kujua .
Je, unaweza kuendelea kudumu kufanya biaashara isio na faida?, lazima  uwemvumilivula?
Je,umefikiria kwa makini na kuorodhesha sababu zote kwani nini unataka kuingia katika biuashara yako mwenyewe? Kufanikiwa katika biashara yako kunakuitaji uridhike wewe mwenyewe.
Je,umelinganisha mapato utakayo pata kutoka katika biashara yako mpya na yale ambayo ungeyapata kutokakan a na kuajiriwa na mtu mwingine? Kama sababu zako za msingi za kuingia katika biashara yako ni kupata fedha hakikisha ya kwamba mapato utakayo ya pata yanazidi kuliko yale ambayo ungali ajiriwa.Kama jibu ni laaa basi mwajiri mtu mwingine.
Umejaribu kujadili wazo lako na washauri mahiri waliok katika nafasi mbali mbali za kazib wenye mawazo na mitizamo tofauti?,pata ushauri kwa watu wanaofanya biashara inayofanana na aliefanikiwa.Ushauru hupanua mawazo yako na kukupa mbinu mpya.
Unajua ni fedha kiasi gani zinazo itajika katika kuazisha biashara yako? Lazima ufahamu kiwango cha mtaji unacho kiitaji aidha kwa atua ya kwanza ambapo pia uanda mtaji wa kuiendesha kwa miezi 6 mfululizo.
Umetunza fedha ya kutosha binafsi ya kuanzisha biashara yako? Sio vizuri sana kuanzisha buiaashara kwa fedha ya mkopo.Hii itakusaidia kupunguza garama za riba usitegemee tuu mkopo kwa asilimia kubwa.
Unapato la kutosha litakalo kustaimilisha kwa miezi 6 ya mwanzo au mwaka wakati wakuanza biashara yako?,lazima ufikiri uhakikishe mahitaji yako kabla ya biashara hiyo haijaanza kukomaa.
Kama unategema kuchukua kiasi kikubwa cha mtaji kutoka kwa rafiki na jamaa zako, unadhani kuwa biashara yako itakuja kuwa huru na michango hiyo iliyo tolewa?,a yamkini watataka kujikweza na pindi wapatapo matatizo au sherehe wataitaji chochote ki ya bishara yako,mara nyingi fedha hununua nafsi.Hakikisha fedha zao hazi kufanya kuwa mtumwa na kuingilia maamuz
Je una jua kuhusu vyanzo vingine vya fedha endapo mtaji wako uta kwama au kufilisika?
Umejaribu kufikiri kuwa bishara yako itakuwa kwenye kundi lipi la kisheria? Mfano kampuni,ushirika wa kibishara; unahusisha wanachama au watu wa wili au ni wewe mwenyewe, kila kundi lina kodi zake.
Je, umejaribu kufikiria mfumo wa utunzaji wa mapato na matumizi yako? kile unacho dai wengine na kile unacho dai watu,kuwa na  vitabu vinavyo onesha fedha iliyoingia na ile iliyotoka.
Je utakuwa tayari kuajiri wafanyakazi kienyeji wale watakaokuwatayari kufanya kazi kama utakavyo itaka?,kuna aina mbili ya wafanyakazi watalamu na wale wasio na utalamu.
Kama unafikiri kuajiri rafiki na jamaa zako unauwakika familia yako itaachakuingilia biashara yako?unapaswa kuhakikisha wamekuwa radhi na wanaelewa sera na mikakati ya biashara yako ya wapasa kutambua ya kwamba hiyo ni biashara na sio taasisi ya kutoa misada.
Je,umeamua kanuni au mfumo gani utakao utumia kupanga bei katika kila daraja la biashara yako?
Umejaribu kufikiri kuhusu kile kitakacho jitokeza kutoka kwa washindani wako wa bei?,uza vitu bora vitakavyo kusaidi kushinda kwenye soko la ushindani pia chagua bei itakayo tunza wateja.
Je,umeweza kuwafahamu wateja wako wakudumu na unaweza kuwaorodhesha?,ni jambo muhimu kuwa na uwelewa  juu ya watu wanao weza kuwa wateja wako na walio wateja wako .
Umefikiri na kuzingatia juu ya jina lako ambalo ni la biashara yako?Jina linanguvu kubwa katika kuelezea biashara yako na liwe raisi kukumbuka, na usijingize katika mkumbo wa watu wanaopenda kutumia majina yao.
            Unadhani biashara yako itachukuwa muda gani ili kurudisha kile ambacho umekiwekeza?
Umejaribu kutafiti kutoka kwenye vyanzo husika kuhusu hatua zote husika zinazo takiwa kuchukuliwa katika biashara yako? Badhi ya biashara zinaitaji leseni na vibali malumu ikiwemo usajili.Hii itakusaidia kuepuka matatizo mara utakapo ingia kwenye biashara yako.

Je unataka kuwa tajiri/mjasiriamali? Kama ndivyo;
Usipende usingizi kuliko kutafuta mali?
Kama uanazisha biashara bila mpango basi andika kwamba umeamua kufa masikini.
Kama unaogopa mkopo pia andika  umeamua kufa masikini.
Kama unalala sana kama ni mvivu sana,jibu ni kwamba utakufa masikni
                     MABO MAKUU MATATU YA KUZINGATIA
Ulinzi,kwenye fedha,BIMA NA AKAUTI YA BENKI.
Uwakika wa chakula uwe ni asilimia %,itakufanya usifikrie viti vya ajabu ajabu,penda kununua vyakula  vya jumla.
Uwakika wa afya,itakusaidia kuwa na afya itakayo kuwezesha kufanya kazi zako kwa ufanisi,BIMA YA AFYA AU HOSIPITALI UTAKAYO TIBIWA KWA MKOPO.
HABARI ZETU
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company