
Msanii wa Filamu Bongo,Ruth Suka 'Mainda',
akiwa Hospitali na mmoja wa wauguzi wa
hospitali hiyo ambayo jina lake hakutaka
kulitaja mara moja.
Haki.......imebaki historia tu......maana
magonjwa sasa hayana nafasi
kwangu....nimejua kwa kupigwa kwake Yesu
mimi nilishaponywa kitambo. Asante yesu kwa
kuchukua udhaifu wangu,magonjwa
yangu,unyonge wangu...na Umenipa Tumaini
maisha yangu yote acha nikutumikie
ipasavyo.japo najua nitakutana na vikwazo ila
nitashinda coz wewe ulishafanya njia siku
nyingi.mapambano yanaendelea huku nikizidi
kukukili wewe Yesu kuwa ndie Bwana na
Mwamba wangu....EMMANUEL:GOD with US..
akiwa Hospitali na mmoja wa wauguzi wa
hospitali hiyo ambayo jina lake hakutaka
kulitaja mara moja.
Haki.......imebaki historia tu......maana
magonjwa sasa hayana nafasi
kwangu....nimejua kwa kupigwa kwake Yesu
mimi nilishaponywa kitambo. Asante yesu kwa
kuchukua udhaifu wangu,magonjwa
yangu,unyonge wangu...na Umenipa Tumaini
maisha yangu yote acha nikutumikie
ipasavyo.japo najua nitakutana na vikwazo ila
nitashinda coz wewe ulishafanya njia siku
nyingi.mapambano yanaendelea huku nikizidi
kukukili wewe Yesu kuwa ndie Bwana na
Mwamba wangu....EMMANUEL:GOD with US..