BREAKING NEWS: BOMU LA LIPUKA ARUSHA USIKU HUU KATIKA BAR YA NIGHT PACK MIANZINI

Taarifa zilizo tufikia hivi punde katika meza yetu ya habari hapa HAKI LEO zinasema kuwa watu kadhaa wamejeruhiwa katika ajali ya bomu iliyotokea hivi punde hapa mjini Arusha.
Ajali hiyo ni ya bomu imetokea katika baa ya NIGHT PACK iliopo katika eneo la mianzini .

Tafadhali kwa habari zaidi endelea kuifwatilia blogu hii ya HAKI LEO
UP DATE
Watu wa wili wameripotiwa kupoteza maisha na majeruhi ni wengi wamepelekwa katika hosiputali za AICC,SELIANI na MT. MERU
Bomu hilo ni la kutupa na mkono, Polisi wanaendelea na uchunguzi
PICHA YA BAR HIYO KAMA INAVYOONEKA BAADA YA KUBINGWA NA BOMU
UP DATE
Asubuhi hii tumepokea tarifa kutoka kwa mkuu wa mkoa zinazokanusha habari ya awali na kudai kuwa hakuna mtu aliye poteza maisha badala yake waliojeruhiwa walikuwa ni 15 na kumi na wa wili bado wamelazwa mahosipitalini huku wengine wakiruhusiwa jana kurejea makwao.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company