
Maandamano ya wafanyakazi yakiingia Uwanja wa Uhuru na kupokelewa na Rais Kikwete

Wafanyakazi wa Daily News na Habari Leo

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakiwasili Uwanja wa Uhuru

Rais Kikwete akiwapungia Wafanyakazi

Rais Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdulrahman Kinana

Mkurugenzi mkuu wa SSRA Bi. Irene Kisaka akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa OSHA Dk Akwilina Kayumba (shoto) , Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dkt Ramadhani Dau na Mkurugenzi Mkuu wa PPF Bw. William Erio

Rais Kikwete na viongozi wengine wakipokea maandamano ya wafanyakazi





