Picha 6 za Mafuriko ya Lowassa Kibaigwa Mkoani Dodoma Jana

Tangu tarehe 29 August ulipofanyika uzinduzi wa kampeni za Ukawa,Lowassa ameendelea kuwa gumzo sehemu mbali mbali anapofanya mikutano ya kampeni zake.

Jana Sept 10,Lowassa alikuwa Mkoani Dodoma katika wilaya ya Kongwa mji mdogo Kibaigwa katika uwanja wa Amani





Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company