Taarifa zilizotufikia ni kuwa Ndugu yetu Dr.Sengondo Mvungi Amefariki mnamo Majira ya Saa Tisa na Nusu katika hospital ya Milpark nchini Afrika kusini .Mungu ailaze Roho ya Marehemu Mahali Pema Peponi.Tutazidi kuwapa taarifa zaidi
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
6 years ago
