Maofisa wa polisi waliofika kuzuia masfara huo walisema wasingeweza kuuruhusu kupita katikati ya mji kwa madai kuwa maandamano hayo ni batili, hali iliyoibua malumbano kati ya uongozi wa polisi na CHADEMA mkoani hapa.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
7 years ago
