MKUTANO WA DHARURA WABARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI WAFANYIKA JIJINI ARUSHA


Katibu mkuu wizara ya Afrika mashariki Joyce Mapunjo katikati na naibu wa wizara ya fedha ya jumuiya ya Afrika Mashariki profesa Adoft F Mkenda pamoja na naibu katibu mkuu wa wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki Amatius Msole wakiongea katika mkutano wa maandalizi ya mkutano wa mawaziri wa jumuiya ya Afrika mashariki

Waziri wa jumuiya ya Afrika mashariki Samwel Sitta pamoja na naibu waziri wa fedha mh.Adam Malima wakiwa wanafatilia kikao cha nchi wananachama ushauri wa makatibu wakuu wa wizara

wataalamu wa fedha wizara ya ishirikiano wa afrika mashariki pamoja na wizara ya viwanda na biashara wakiwa katika kikao hicho
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company