FLAVIANA MATATA NA MASSAWE WAFUNGA NDOA

Mwanamitindo Flaviana Matata na Deogratius Massawe baada ya kufunga pingu za maisha juzi.



Massawe akimbusu mkewe.



Mwanamitindo Flaviana Matata akiwa katika pozi na mumewe Deogratius Massawe.(P.T)






MWANAMITINDO Flaviana Matata alifunga ndoa na Deogratius Massawe katika Kanisa la St. Joseph lililopo jijini Dar. Ndoa hiyo ilifuatiwa na sherehe zilizofanyika katika Hoteli ya Serena, Dar.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company