Mwandishi wa habari, Nancy mshindi Tuzo la Komla Dumor

Marehemu Komla Dumor

Mwanahabari kutoka Uganda, Nancy Kacugira ni mshindi wa Tuzo la kwanza la kumuenzi aliyekuwa mtangazaji wa BBC, Komla Dumor.

Tuzo hilo lina lengo la kuendelea kuimarisha uandishi wa habari kuhusu Afrika.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company