Msimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata jimbo la Kilindi mkoani Tanga amefariki dunia baada ya gari alilokua amepanda kwenda kupeleka masanduku ya kura kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo hilo kuacha njia na kupinduka
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Tanga ZUBERI MWOMBEJI amesema tukio hilo lilitokea majira ya saa saba na nusu za usiku wakati wakirudisha masanduku kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi jimbo la kilindi
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago