WAZIRI WA NISHATI NA MADINI AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA BENKI YA DUNIA KUZUNGUMZIA MASUALA YA GASI



Waziri wa Nishati na Madini Mhe.Profesa Sospeter Muhongo,Baadhi ya Wajumbe kutoka Benki ya Dunia wakichangia taarifa iliyowasilishwa kuhusu masuala ya Gasi wakati wa kikao baina yao



Bw. Albert Zeufack Mtaalamu toka Benki ya Dunia akiwasilisha taarifa ya kuhusu Masuala ya Gasi


Kamishna Msaidizi anayesimamia masuala ya Gasi Asilia Engineer Nobert Kahyoza akitoa ufafanuzi wakati wa kikao hicho


Kamishna Msaidizi anayesimamia Maendeleo ya Nishati Bw. James Andikile akisisitiz ... hicho katikati ni Waziri wa Nishati na Madini Mhe. Profesa Sospeter Muhongo
Picha na ( Asteria Muhozya - Nishati na Madini)
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company