Mwalimu
Nyerere; “Nibora kuishi na fikra hai kuliko kuishi na fikra zilizo kufa”
“Unaweza
kuwadanganya watu wote kwa muda fulani
na baathi ya watu wakati wote ila uwezi kuwadanganya watu wote kwa
wakati wote”
Abrahamu
Linlccon: “Raisi wa 16 wa nchi ya Marekani: Serikali ya watu,inayowatumikia
watu na iliyowekwa na nawatu haita potea duniani”
Nelson
Mandela; “Elimu ni silaha yenye nguvu yenye uwezo wa kuibadilisha dunia.”
“Kichwa
kizuri na moyo mzuri huwa na ushirika”
“Kama
unataka kutengeneza amani na adui yako,tengeneza nae urafiki kisha atakuwa
rafiki yako”
“Inatupasa
tutumie muda vizuri na sikuzote tukumbuke ya kwamba muda huenda sahihi”
Thomas
Jefferson: “Uaminifu ni ukurasa wa kwanza wa kitabu cha hekima”
Lucille Ball: “Huwa najutia mambo
niliyoyatenda kulikoo yale ambayo sikuyatenda”
Confucius:
“Ukimia ni chanzo kikubwa cha nguvu”
Lao
Tzu:“Kuwajua wengine ni hekima,kujijua mwenyewe ni marifa makubwa”
Benjamini
Franklin: “Uaminifu ni sera nzuri”
Abrahan
Maslow: “Ukiwa na nyundo unaona kila tatizo kama msumari”
Publilius
Syrus: “Kutokana na makosa ya wengine mwenye hekima hujisahihisha”
Aritotle:
“Matumaini ni matumaini yanayotembea”
Plato:
“Maamuzi mazuri huegemea maarifa nasiyo umri”
John F. Kennedy: “Samehe adui zako lakini usisahau
majina yao”
“Ushindi una
baba wengi ila kushindwa ni yatima”