RAIS KIKWETE APOKEA SALAMU ZA MUUNGANO KUTOKA ANGOLA

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea salamu za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano kutoka kwa Rais wa Angola Jose Eduardo Dos Santos uliowasilishwa kwake na Waziri wa Serikali za mitaa(local Governments) Mhe.Bornito De Sousa ikulu jijini Dar es Salaam siku ya kilele cha sherehe hizo(tarehe 26Apili 2014).


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Serikali za mitaa (local Governments) wa Angola baada ya kupokea salamu za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano kutoka kwa Rais wa Angola,Mh. Jose Eduardo Dos Santos ikulu jijini Dar es Salaam siku ya kilele cha sherehe hizo(tarehe 26Apili 2014).

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Serikali za mitaa (local Governments) wa Angola,Mhe. Bornito De Sousa wakati akizipitia salamu hizo za maadhimisho ya miaka 50 ya Muungano kutoka kwa Rais wa Angola Jose Eduardo Dos Santos uliowasilishwa kwake na Waziri huyo,ikulu jijini Dar es Salaam siku ya kilele cha sherehe hizo(tarehe 26Apili 2014).(picha na Freddy Maro)
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company