Msururu wa wananchi wakiwasilisha barua na vielelezo vya malalamiko yao kwa Waziri Lukuvi leo hii mjini Sumbawanga.

Waziri Lukuvi akikagua malalamiko hayo kuona kama yanastahili kushughulikiwa na wizara yake ama la.

Waziri Lukuvi akirejesha vielelezo kwa mwananchi mmoja na kuelekeza kwamba kwa vile suala hilo lilikwishapita mahakamani, basi aende katika mahakama za juu kwani Serikali haiwezi kuingilia uamuzi wa mahakama.




Hata mfanyabiashara maarufu wa mjini Sumbawanga, Aziz Tawaqal naye aliwasilisha malalamiko yake ya kudhulumiwa ardhi.

