Katika hili nawataka ndugu zangu kutokuwaza jambo lolote ambalo linakutatiza bali waza njia za kutatua matatizo,Mfano huna fedha haipaswi kuwaza kutokuwa na fedha ama hitaji lako bali waza njia ambazo zitakazo kuwezesha wewe kupata fedha ikiwemo kuajiriwa,kujiajiri ama njia yoyote iliyonyofu.
Ndoa yako ina matatizo, usikubali kuwaza matatizo kwani utapata ugonjwa wa Moyo bure na kuna hatari ya kuvunja hiyo ndoa, bali waza njia za kutatua matatizo yanayokuzingira katika hayo mahusiano.
MUNGU AKUPE UVUMILIVU KATIKA UNAYOYAPITIA.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago