DRC: Hali ya usalama katika mji wa Goma

HABARI ZETU
Majeshi ya kulinda amani ya Umoja wa Mataifa
Polisi katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo wamesambazwa katika maeneo ya Nyiragongo kaskazini mwa Goma, pamoja na viunga vyake maeneo yaliokuwa yanashikiliwa na waasi wa M23 ili kuimarisha usalama zaidi.
www.hakileo.blogspot.com
Waasi walitoroka huko kufuatia makabiliano makali yaliyodumu wiki nzima kati yao na vikosi vya serikali na majeshi ya Umoja wa Mataifa.
Amina Abubakar amezungumza na Gavana wa Kivu Kaskazini Julien Paluku na kwanza alimuuliza juu ya hali ilivyo kwa wakati huu.Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company