AJTC QUEN STAR WAGONGA MWAMBA

Kikosi cha timu ya mpira wa pete cha AJTC kiitwacho AJTC QUEN.

Jana katika michuano ya TASWA timu hii iligonga mwamba baada ya kutolewa na Timu ya TASWA ya Dar es salaam.Timu hiyo iligubikwa na malala miko makubwa hususani kutoka kwa ATC QUEN walio dai ya kwamba wachezaji wale walikuwa ni mamluki wakimaanisha
wakukodiwa.

Kwa  muendelezo wa habari hii na picha nyingi za mashindano ya jana ambayo pia yalihusisha mpira wa miguu tafadhali tembelea blogu hii majira ya leo jioni pia utajua wachezaji watatu ambao tayari wamekwisha pata ulaji.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company