KUFUNGWA WAFUNGWE RUVU, KUNUNA WANUNE YANGA...


Mashabiki wa Yanga SC wakiwa wamenyong'onyea baada ya Ruvu Shooting kuchapwa mabao 3-0 na Azam FC jioni ya leo Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani. Yanga iliiombea Azam ifungwe ili wapate nafasi ya kutetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Lakini dua lakuku halikumpata mwewe.

Mashabiki wa Yanga SC waliingia kwa mbwembwe wakiamini Ruvu itawasaidia kumsimamisha Azam

Hapa jamaa wanamtukana refa, wakidai anaibeba Azam
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company