ONA JINSI PETR CECH ALIVYOUMIA USIKU WA LEO VICENTE CALDERON


Nje: Kipa wa Chelsea, Petr Cech akisaidiwa kutoka nje baada ya kuumia dakika ya 17 katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu dhidi ya wenyeji Atletico Madrid Uwanja wa Vicente Calderon. Timu hizo zilitoka 0-0. Nafasi ya Cech ilichukuliwa na Schwarzer aliyemalizia mcheo vizuri.

Yalaaa! Raul Garcia akimvagaa Petr Cech na kipa huyo Chelsea aliumia na kushindwa kuendelea na mchezo


CHANZO BIN ZUBBERY
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company