Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni Mbunge wa Iringa mjini na mjumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mch. Peter Msigwa (Chadema) akibadilishana mawazo na wakazi wa Iringa mjini jana mchana kuhusu kinachoendelea bungeni mjini Dodoma. (Picha na Friday Simbaya)
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
6 years ago
