Kambi ya upinzani nchini Kenya imetoa wito kwa serikali kuondoa majeshi nchini Somalia kwa madai kwamba mashambulizi ya al-sahabab dhidi ya raia wa Kenya yanatokana na kuendelea kuweko majeshi ya KDF katika ardhi ya Somalia.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
6 years ago
