Vyama vya siasa vyaonywa kutumia vikundi vya ulinzi binafsi

JESHI la Polisi mkoani MANYARA, limevipiga marufuku vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu kutumia
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa MANYARA, CHRISTOPHER FUIME

JESHI la Polisi mkoani MANYARA, limevipiga marufuku vyama vyote vya siasa vinavyoshiriki katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu kutumia vikundi vya ulinzi binafsi vilivyoanzishwa na vyama hivyo.

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa MANYARA, CHRISTOPHER FUIME, amesema kuwa matumizi ya vikundi vya ulinzi vya vyama ni uvunjifu wa sheria za nchi na ameonya kuvichukulia hatua kali za kisheria vyama vitakavyo kiuka katazo hilo.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company