BREAKING NEWS: KIJANA AUAWA NA KUCHOMWA MOTO MBAGALA

CHANZO sufianimafoto.com
Habari zilizotufikia muda huu kutoka maeneo ya Mbagala, zinasema kuwa kijana mmoja anayedaiwa kuwa ni kibaka ameuawa na watu wenye hasira kali baada ya kukamatwa alipokuwa katika harakati za kuiba. Haikuweza kufahamika kuwa alikuwa akiiba nini.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company