CHELSEA YAKOMAA NA WABABE WA BARCA UGENINI, NGOMA DROO

CHELSEA imelazimisha sare ya bila kufungana na Atletico Madrid katika Nusu Fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku huu Uwanja wa Vicente Calderon
Maana yake, Chelsea itahitaji ushindi mwembamba katika mchezo wa marudiano Uwanja wa Stamford Bridge, London dhidi ya timu iliyoitoa Barcelona katika Robo Fainali ili kutinga Fainali.
Chelsea leo ilimpoteza kipa wake wa kwanza Petr Cech mapema dakika ya 17 baada ya kuumia na nafasi yake kuchukuliwa na Schwarzer aliyemalizia vizuri mchezo.

11 wa ukweli: Kikosi cha Chelsea kilichotoa sare ya 0-0 ugenini na timu ngumu ya Atletico Madrid usiku huu
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company