Wananchi wakipita kwa shida katika Barabara ya Morogoro eneo la Jangwani jana baada ya kufurika maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha Dar es Salaam. Picha na Said Khamis






Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam, limetoa tahadhari kwa watumiaji wa barabara kutoka maofisini mapema kufuatia baadhi ya barabara kujaa maji.




