Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wea Monduli, Mh. Edward Lowassa, akitoa hotuba ya shukrani kwenye makao makuu ya CCM mkoa wa Singida baada ya kupata wadhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na chama hicho kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015.
Mh. Lowassa ameweka rekodi mpya baada ya kupata wadhamini 22, 758 tangu aanze kutafuta wadhamini mapema mwezi huu
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwahutubia wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida waklati akiondoka makao makuu ya CCM mkoani Singida Juni 16, 2015 baada ya kupata wadhamini.
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa akiwapungia mkono wana CCM na wakazi wa Manispaa ya Singida wakati akiondoka makao makuu ya CCM mkoani Singida, Juni 16, 2015 baada ya kupata wadhamini.
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago