HABARI KUU ZA LEO na OSCAR SAMBA
print this page

Mahali: TAG Ushiri Rombo: Tarehe 28:2:2019. Na Mwalimu Oscar Samba. . Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfany...

Read more »

HABARI ZETU Mahali: TAG Ushiri, Rombo:     Tarehe 27/2/2019, Na Mwalimu Oscar Samba Mathayo 13:3 Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akise...

Read more »

Ni Ujumbe uliopo kwenye hicho kitabu mada ya Mwisho inayoelekeza namna ya kuingia Shambani au kuanza huduma;  Kumekuwa na tatizo kubwa sana ...

Read more »

Mithali 3:19 Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara; Fahamu: Kukosa Akili, au kushindwa kuitumia Akili...

Read more »
HABARI NA Oscar Samba
ROONEY APIGA BAO LA KIHISTORIA MAN UNITED IKING'ARA ENGLAND

ROONEY APIGA BAO LA KIHISTORIA MAN UNITED IKING'ARA ENGLAND

MSHAMBULIAJI Wayne Rooney usiku huu amekumbushia enzi za David Beckham alipoifungia bao la umbali wa mita 58 Manchester United ikiifunga West Ham mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Upton Park.Akirejea katika Ligi Kuu baada ya kufanikiwa kutinga Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa
0 Toa maoni yako.
YAYA TOURE APIGA HAT TRICK MAN CITY IKIUA 5-0 ENGLAND

YAYA TOURE APIGA HAT TRICK MAN CITY IKIUA 5-0 ENGLAND

MANCHESTER City imerudi kwa hasira katika Ligi Kuu ya England ikitoka kutolewa Ligi ya Mabingwa Ulaya- baada ya jioni hii kuifumua mabao 5-0 Fulham katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Etihad mjini Manchester.Mwanasoka Bora wa Afrika, Yaya Toure leo amepiga hat trick yake ya kwanza, mabao maw
0 Toa maoni yako.
SUAREZ APIGA TATU PEKE YAKE LIVERPOOL IKITANDIKA MTU SITA

SUAREZ APIGA TATU PEKE YAKE LIVERPOOL IKITANDIKA MTU SITA

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uruguay, Luis Suarez amepiga hat trick timu yake, Liverpool ikiifunga mabao 6-3 Cardiff City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni Uwanja wa Cardiff.Cardiff walitangulia kupata bao dakika ya tisa mfungaji Mutch kwa pasi ya Campbell, lakini Luis Suarez akaisawazishi
0 Toa maoni yako.
 Wapinzani wapinga hotuba ya JK

Wapinzani wapinga hotuba ya JK

Rais Jakaya Kikwete akishangiliwa na wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wakati akiingia kwenye Ukumbi wa Bunge hilo tayari kwa kuwahutubia, mjini Dodoma jana. Picha na Michael Jamson Na Waandishi wetu, MwananchiDodoma. Wenyeviti wa vyama vya Upinzani vya Chadema, Chama cha Wananchi (CUF) na Chama c
0 Toa maoni yako.
 TZ na Malawi zashindwa kufikia mwafaka wa mpaka

TZ na Malawi zashindwa kufikia mwafaka wa mpaka

Mazungumzo ya Tanzania na Malawi yaliyokuwa yakifanyika katika mji mkuu wa Msumbiji Maputo, yamemalizika pasina na pande mbili kufikia makubaliano kuhusiana na mzozo wao wa mpaka katika Ziwa Nyasa. Joaquim Chissano Rais wa zamani wa Msumbiji ambaye ndiye mpatanishi mkuu wa mazungumzo hayo amesema k
0 Toa maoni yako.
 VIGOGO WA DAWA ZA KULEVYA: BARUA YA WAZI KWA WAZIRI LUKUVI (DRUG DILLERS)

VIGOGO WA DAWA ZA KULEVYA: BARUA YA WAZI KWA WAZIRI LUKUVI (DRUG DILLERS)

Hon. William LukuviAn open letter to the Minister of State in the Prime Minister’s Office Mr. Willian LukuviRe : Your "On list of Drug Barons"(a copy of which was given to the inmate)I write this letter on behalf of the drug free Tanzania Movement which is moving with determination and majestic sco
0 Toa maoni yako.
 Ziara ya Michelle Obama China

Ziara ya Michelle Obama China

Maafisa wa White House wanasema ziara ya Michelle itatilia mkazo zaidi elimu na kuepuka maswala mengine mazito kati ya Marekani na China kama yale ya haki za binadamu na biasharaMke wa rais wa Marekani Michelle Obama akitoa hotuba katika chuo kikuu cha Peking mjini Beijing, Machi 22, 2014Mke wa rai
0 Toa maoni yako.
 Urusi yashutumiwa kwa kujaribu kuligawanya bara Ulaya

Urusi yashutumiwa kwa kujaribu kuligawanya bara Ulaya

Majeshi ya Urusi yameiteka kambi ya kijeshi katika eneo la Crimea kwa kutumia magari yasiyopenya risasi na maguruneti hapo jana.Hatua hii inakuja siku moja baada ya Rais wa Urusi Vladimir Putin kutia saini sheria inayolitambua rasmi jimbo la Crimea kama sehemu ya himaya ya shirikisho la Urusi.Majes
0 Toa maoni yako.
 Ziara ya Michelle Obama China

Ziara ya Michelle Obama China

Maafisa wa White House wanasema ziara ya Michelle itatilia mkazo zaidi elimu na kuepuka maswala mengine mazito kati ya Marekani na China kama yale ya haki za binadamu na biasharaMke wa rais wa Marekani Michelle Obama akitoa hotuba katika chuo kikuu cha Peking mjini Beijing, Machi 22, 2014Mke wa rai
0 Toa maoni yako.
 YANGA SC YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA, YAITANDIKA RHINO 3-0 TABORA

YANGA SC YAFUFUA MATUMAINI YA UBINGWA, YAITANDIKA RHINO 3-0 TABORA

Na Renatus Mahima, Tabora MABINGWA watetezi, Yanga SC leo wamezinduka baada ya kuwachapa mabao mawili 3-0 wenyeji Rhino Rangers katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Ally Hassan Mwinyi mjini Tabira. Shujaa wa Yanga SC, leo alikuwa ni mshambuliaji Jerry Tegete aliyefunga maba
0 Toa maoni yako.
 kumekucha, WENGER ATIMIZA MECHI YA 1,000 NA KIPIGO KIZITO KUTOKA KWA CHELSEA - WAPIGWA 6-0

kumekucha, WENGER ATIMIZA MECHI YA 1,000 NA KIPIGO KIZITO KUTOKA KWA CHELSEA - WAPIGWA 6-0

Mchezo wa 1,000 wa kocha Arsene Wenger umeisha kwa kipigo cha 6-0 kutoka Chelsea. Ushindi huo umemfanya Jose Mourinho aendelee kumtambia Wenger huku akiimarisha rekodi yake ya kutopoteza mechi katika dimba la Stamford Bridge katika mechi 76. Pia ushindi wa 6-0 ndio mkubwa kabisa kwa Jose Mourinh
0 Toa maoni yako.
Diamond anaendelea na ujenzi, kaweka hizi picha nyingine

Diamond anaendelea na ujenzi, kaweka hizi picha nyingine

Diamond ni miongoni mwa wasanii wa bongofleva ambao wapo kwenye ujenzi wa makazi yao huku wengine tayari wameshamaliza na kuhamia ambapo mmoja wao ni staa wa ‘nani kamwaga pombe yangu’ Madee.Kwenye ujenzi wa nyumba ya Diamond, nguvu zake nyingine kazielekeza kwenye ujenzi wa bwawa la kuogelea kama
0 Toa maoni yako.
 NYERERE, KARUME WANATUMIWA KUPINGA SERIKALI TATU KWA MASLAHI YA CCM

NYERERE, KARUME WANATUMIWA KUPINGA SERIKALI TATU KWA MASLAHI YA CCM

Jaji Joseph Warioba, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya KatibaNdugu zangu,Nakubaliana kabisa na kauli ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliyoitoa Januari 2, 2014 akionya kwamba Mwalimu Julius Nyerere asitumike kupinga muundo wa Muungano wenye serikali tatu.Kinacho
0 Toa maoni yako.
 Kikwete ‘avuruga’ mjadala

Kikwete ‘avuruga’ mjadala

Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge Maalumu la Katiba, mjini Dodoma jana. Picha na Michael Jamson Na Fidelis Butahe na Godluck Eliona, MwananchiRais Jakaya Kikwete jana alibadili upepo wa mchakato mzima wa Katiba baada ya kutoa maoni yake binafsi, akitaka muundo wa Serikali mbili badala ya tatu
0 Toa maoni yako.
 AMISOM wameuteka mji Koryoley, Somalia

AMISOM wameuteka mji Koryoley, Somalia

Al Shabaab Wanajeshi wa Muungano wa Afrika wanameuteka mji muhimu wa Koryoley, ulio umbali wa kilomita 90 Kusini Magharibi mwa mji mkuu Mogadishu. Mji wa Koryoley, umekuwa chini ya udhibiti wa kundi la wanamgambo la Al Shabaab kwa miaka mitano iliyopita. Mwandishi wa BBC aliye katika eneo hilo ana
0 Toa maoni yako.
 Picha ya 'mabaki ya ndege' iliyopotea

Picha ya 'mabaki ya ndege' iliyopotea

China imeanza kuchunguza picha mpya za setilite zinazoonyesha kitu kama mabaki ya ndege kwenye eneo la kusini mwa bahari ya Hindi.Picha hizo ni muhimu kwa ndege ya Malaysia MH370 iliyopotea, maafisa wa Malaysia wanasema.
0 Toa maoni yako.
 Safari ya Mwanza kuwa mji wa utalii bado

Safari ya Mwanza kuwa mji wa utalii bado

Nashukuru kwa simu chache nilizopata kutokana na makala yangu ya wiki iliyopita ambayo ilizungumzia Mwanza ina uwezo wa kuwa mji wa kiutalii, lakini mpaka sasa hakuna matangazo ya kutosha.Ninaposema kuwa mji wa kitalii, au utalii, nina maana kubwa sana, lakini la msingi ni serikali ya eneo husika
0 Toa maoni yako.
 Kikwete na ujumbe mzito kwa Bunge la Katiba Leo Jioni

Kikwete na ujumbe mzito kwa Bunge la Katiba Leo Jioni

Rais Jakaya Kikwete Na Mussa Juma, MwananchiMbali na viongozi hao, Rais Kikwete pia ataambatana na Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Seif Sharif Hamad.Wanaotarajiwa kuwamo katika msafara huo ni Rais wa pili wa
0 Toa maoni yako.
 Bendera ya Urusi inapepea kwenye majengo ya serikali katika eneo la Crimea

Bendera ya Urusi inapepea kwenye majengo ya serikali katika eneo la Crimea

Wanamgambo wanaounga mkono Urusi wakipandisha bendera ya Urusi kwenye makao makuu ya jeshi la majini mjini Sébastopol. REUTERS/Vasily Fedosenko, Na RFIJinsi siku zinavyoenda ndivyo mchakato wa kujiunga kwa Crimea na Urusi unavyoendelea. Mahakama ya kikatiba ya Urusi imetia saini leo asubu
0 Toa maoni yako.
 Malaysia:Shughuli zaendelea kuisaka ndege

Malaysia:Shughuli zaendelea kuisaka ndege

Picha za kinachodhaniwa kuwa mabaki ya ndege ya Malaysia nchini AustraliaNdege na meli kutoka nchi mbali mbali zinaendelea kuitafuta mabaki ambayo huenda yanatokana na ndege ya Malaysia iliyopotea takriban wiki mbili zilizopita ikiwa imebeba takriban watu 240.Matumaini ya kutatua kitendawili hicho
0 Toa maoni yako.
 MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR

MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA YAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR

Aliyekuwa meneja wa kinywaji cha Redd's Original Victoria kimaro akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya kuzinduliwa kwa mashindano ya Redd,s Miss Tanzania 2014 kulia ni mkurugenzi wa kampuni ya LINO International Agency Hashim Lundenga ambao ni waandaaji wa mashindano hayo n
0 Toa maoni yako.
 KENYA YATOA UZOEFU KWA BUNGE LA TANZANIA

KENYA YATOA UZOEFU KWA BUNGE LA TANZANIA

Ujumbe maalum kutoka nchini Kenya umehutubia wajumbe wa Bunge la Katiba nchini Tanzania kuelezea uzoefu wao kuhusu mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya nchini Kenya ulivyofanyika.Akizungumza na Wajumbe wa Bunge maalum la katiba, Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Kenya,Amos Wako ameainisha masuala ya
0 Toa maoni yako.
 KARIBU TANZANIA MWANA MFALME WA SWEDEN.

KARIBU TANZANIA MWANA MFALME WA SWEDEN.

Today at TIC, we had an honor of hosting her Highness the Crown Princess of Sweden, Princess Victoria.
0 Toa maoni yako.
 ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o

ANC:Rais Jacob Zuma hatajiuzulu ng'o

Nyumba ya kifahari ya Jacob ZumaChama tawala nchini Afrika ANC kimetoa kauli yake kuhusu tuhuma za utumizi mbaya wa pesa za Umma dhidi ya Rais Jacob Zuma.Katibu mkuu wa chama hicho, Gwede Mantashe, amesema kuwa afisa yeyote aliyehusishwa na makosa yoyote, lazima akabiliwe na sheria.Lakini amepuuzil
0 Toa maoni yako.
 Australia yadadisi picha za Satelite

Australia yadadisi picha za Satelite

Harakati za kutafuta ndege ya MalaysiaAustralia inadadisi picha za Satelite za vitu viwili vinavyodhaniwa kuwa mabaki ya ndege iliyopotea ya Malaysia.Nchi hio inashirikiana na Norway, New Zealand na Marekani kutafuta mabaki hayo.Upepo mkali na mvua zilitatiza juhudi hizo hii leo na kusababisha shug
0 Toa maoni yako.
 Watoto wauawa kikatili CAR

Watoto wauawa kikatili CAR

Mkuu wa tume ya haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa Navi PillayKamishna wa tume ya Umoja wa Mataifa ya haki za binadamu ametoa taarifa za kutisha na kuhuzunisha kuhusu ghasia za hivi karibuni katika Jamuhuri ya Afrika ya kati , baada ya kutembelea taifa hilo kwa siku tatu .
0 Toa maoni yako.
 Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba

Bunge lachafuka, Warioba asimama bila kuwasilisha Rasimu ya Katiba

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, akiondoka bungeni chini ya ulinzi wa askari wa Bunge baada ya vurugu kutokea jana. Picha na Emmanuel Herman Na Sharon Sauwa, Habel Chidawali, MwananchiDodoma. Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba jana jioni
0 Toa maoni yako.
 200 WAUAWA VIJIJINI NIGERIA

200 WAUAWA VIJIJINI NIGERIA

Watu wa kabila la Fulani katika kijiji kilioko kwenye kiunga cha mji mkuu wa Nigeria Abuja.Takribani watu 200 wameuwawa na watu wenye silaha katika mashambulizi yaliofanyika kwenye vijiji vitatu katikati ya Nigeria. Mashambulizo ya Jumamosi yamefuatiwa na ya jana katika jimbo la kaskazini mashariki
0 Toa maoni yako.
 RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE

RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete (kulia) akiambatana na Mwenyekiti wa Kampeni wa Chalinze (CCM),Saleh Mpwimbwi (kushoto) pamoja na Msafara wake wakielekea kuhani Msiba wa Mtoto wa Mzee Mashaka Athuman mkazi wa kijiji cha Rupungwi,K
0 Toa maoni yako.
Pages (26)1234567 Next
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company