Bajeti Afrika Mashariki ni leo

Leo ni siku ya Bajeti kwa nchi nne wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki - isipokuwa Burundi. Wananchi wa Afrika Mashariki watazamie nini katika bajeti za mwaka wa fedha 2015/16?; - Bei za vitu zikipanda, thamani ya shilingi ikianguka, na huku hali ya maisha kwa jumla ikiongezeka.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company