Mbunge aliyemaliza muda wake lakini anagombea tena Joseph Mbilinyi
Matokeo ya Ubunge Mbeya Mjini yatatangazwa leo jioni saa kumi na moja lakini matokeo ya udiwani Mbeya Mjini Chama Cha Chadema kimepata kata 26 huku CCM imepata kata 8 na kata 1 imeahirishwa kufanyika uchaguzi kutokana na mgombea kufariki dunia
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago