Upinzani Rwanda wailaumu serikali kwa kifo cha Karegeya.

Jenerali Kayumba Nyamwasa aliye uhamishoni Afrika kusini.
Viongozi wa vyama vya upinzani Rwanda wanamlaumu Rais Paul Kagame kwa kifo cha mkuu wa zamani wa upelelezi ambaye inaelekea amekabwa kwenye hoteli moja Afrika Kusini.
Wachunguzi wanasema mkuu huyo wa zamani wa usalama Patrick Karegeya alikutwa amekufa katika hoteli moja ya hali ya juu huko Johanesburg.

Akizungumza na Sauti ya Amerika mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda Jenerali Kayumba Nyamwasa amesema kwamba mtu aliyemwita hotelini hapo walikuwa wakifahamiana na alikuwa rafiki yake alipokuwa Rwanda na ni mtu aliyemwamini.
Kusikiliza mahojiano na Nyamwasa bofya hapa.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company