Mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka jijini Arusha Oliva Wema akiwaburudisha wakazi wa Iringa mjini mchana leo katika mtaa ya sokoni ukiwa ni mtindo wake wa kuingia sokoni kuuza album zake mbili mwenyewe kama zinavyoonekana nyuma zikinyanyuliwa na kijana wake. Album ya kwanza inaitwa 'Tua Mizigo' na 'Kidomodomo.' Mwimbaji huyo anaelekea jijini Dar es salaam akitokea nchini zambia kupitia Tuduma wilayani Mbozi mkoani Mbeya. (PICHA NA FRIDAY SIMBAYA)
TAIFA STARS HAZARANI
-
Kaimu kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Etiene Ndairagije ametangaza
kikosi cha timu ya taifa chenye wachezaji 30 ambao wanajiaandaa na mchezo
wa kuwania ...
5 years ago