Utata wa hati ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar

Hatua ya kutopatikana kwa hati halali ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, imezidi kuleta utata katika Bunge Maalum la Katiba.

Utata huo umejitokeza katika vikao vya kamati kadhaa baada ya wajumbe kuanza kujadili vipengele vya Rasimu ya Katiba. Ili kutaka kufahamu kuhusu mvutano huo na sehemu hasa ilipo hati hiyo ya Muungano, Grace Kabogo amezungumza na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Othman Masoud, na hapa anafafanua zaidi.

Kusikiliza mazungumzo hayo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwandishi: Grace Patricia Kabogo

Mhariri: Yusuf Saumu
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company