Mgogoro wazuka baina ya wafugaji na askari wa wanyamapori

Kumezuka mgogoro kati ya wafugaji na askari wa wanyamapori katika hifadhi ya KAMISI iliyoko katika mpaka wa wilaya ya KARAGWE na BIHARAMULO na NGARA mkoani KAGERA
Kumezuka mgogoro kati ya wafugaji na askari wa wanyamapori katika hifadhi ya KAMISI iliyoko katika mpaka wa wilaya ya KARAGWE na BIHARAMULO na NGARA mkoani KAGERA.

Malalamiko hayo ambayo yamefikishwa kwa mkuu wa mkoa huo JOHN MONGELA wafugaji wamelalamika kwamba mifugo yao inakamatwa na kutozwa faini bila ya utaratibu maalum.
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company