Wanachi watakiwa kuwa makini na wanasiasa

Mkuu wa wilaya ya CHUNYA Mkoani Mbeya ELIAS TARIMO ametoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini na viongozi wa siasa wanaotumia lugha za uchochezi wanapokuwa kwenye majukwa ya kampeni   
Mkuu wa wilaya ya CHUNYA Mkoani Mbeya ELIAS TARIMO ametoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini na viongozi wa siasa wanaotumia lugha za uchochezi wanapokuwa kwenye majukwa ya kampeni.

TARIMO ameyasema hayo katika kata ya SANGAMBI bsaada ya kuwatembelea wananchi na kuwataka mkuwa watulivu na kuhakikisha kwamba amani inadumishwa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu.

Aidha TARIMO amewaasa wananchi kuwa makini na wagombea wanaoijinadi kwa lugha chafu, na kuhakikish kuwa wanachagua viongozi watakaolinda na kutunza amani ya TANZANIA
Share this article :
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company