HABARI KUU ZA LEO na OSCAR SAMBA
print this page

Mahali: TAG Ushiri Rombo: Tarehe 28:2:2019. Na Mwalimu Oscar Samba. . Mwanzo 2:18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfany...

Read more »

HABARI ZETU Mahali: TAG Ushiri, Rombo:     Tarehe 27/2/2019, Na Mwalimu Oscar Samba Mathayo 13:3 Akawaambia mambo mengi kwa mifano, akise...

Read more »

Ni Ujumbe uliopo kwenye hicho kitabu mada ya Mwisho inayoelekeza namna ya kuingia Shambani au kuanza huduma;  Kumekuwa na tatizo kubwa sana ...

Read more »

Mithali 3:19 Kwa hekima Bwana aliiweka misingi ya nchi; Kwa akili zake akazifanya mbingu imara; Fahamu: Kukosa Akili, au kushindwa kuitumia Akili...

Read more »
HABARI NA Oscar Samba
 NAPE: KUWAZUIA WATU KUPIGA KURA NI KUHUJUMU DEMOKRASIA

NAPE: KUWAZUIA WATU KUPIGA KURA NI KUHUJUMU DEMOKRASIA

Katibu wa NEC tikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa kata ya Nyasura wakati wa mkutano wa kampeni za udiwani ambapo aliwaeleza wananchi haikuwa rahisi kuwaleta watanzania pamoja,hivyo basi wakatae kabisa vyama viinavyotaka kuwatenganisha kwa misingi ya udini na ukabila.
0 Toa maoni yako.
LEO NI SIKU YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI, KWA HAPA ARUSHA TUTAKULETEA MATOKEO NA MWENENDO WA UCHAGUZI HUU MOJA KWA MOJA KWA HIYO ENDELEA KUIFWATILIA HAKI LEO

LEO NI SIKU YA UCHAGUZI MDOGO WA MADIWANI, KWA HAPA ARUSHA TUTAKULETEA MATOKEO NA MWENENDO WA UCHAGUZI HUU MOJA KWA MOJA KWA HIYO ENDELEA KUIFWATILIA HAKI LEO

HABARI ZETU
0 Toa maoni yako.
 Homa ya ‘kitimoto’ yaleta hofu

Homa ya ‘kitimoto’ yaleta hofu

Nyama ya nguruwe. Ugonjwa wa homa ya nguruwe, umeibuka tena katika Jiji la Mbeya na kuua nguruwe 166 wenye thamani ya Sh33 milioni hadi ilipofika juzi. Picha na Maktaba Na Lauden Mwambona, MwananchiMbeya. Ugonjwa wa homa ya nguruwe, umeibuka tena katika Jiji la Mbeya na kuua nguruwe 166 wenye thama
0 Toa maoni yako.
 ONA HII LIVE SCORE YA JANA,YANGA SC 7-0 KOMOROZIE DE DEMONI

ONA HII LIVE SCORE YA JANA,YANGA SC 7-0 KOMOROZIE DE DEMONI

Na Shaffih DaudaMpira umemalizika Yanga 7-0 WacomoroDakika ya 81, Didier Kavumbagu anaipatia Young Africans bao la sabaDakika ya 75, Young Africans 6 - 0 Komorozine de Domoni
0 Toa maoni yako.
 Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu

Waziri wa uhamiaji wa Uingereza ajiuzulu

Waziri wa Uhamiaji wa Uingereza, Mark Harper, amejiuzulu baada ya kujulikana kuwa amemuajiri mtu asiyekuwa na kibali cha kubaki nchini.
0 Toa maoni yako.
 Marekani yatahadharisha kuhusu uvunjwaji wa makubaliano ya kusitisha vita nchini Sudani Kusini

Marekani yatahadharisha kuhusu uvunjwaji wa makubaliano ya kusitisha vita nchini Sudani Kusini

Jen Psaki,msemaji wa Idara ya MarekaniAFP Photo/Paul J. RichardsNa Sabina Chrispine NabigamboMarekani imetoa tahadhari kuhusu madai ya mara kwa mara kwamba serikali ya Sudani Kusini na waasi wanavunja makubaliano ya kusitisha mapigano ambyo yamegharimu maisha ya maelfu ya watu.
0 Toa maoni yako.
 Wajumbe Bunge la Katiba hawa hapa, Wamo Mtikila, Prof. Lipumba, Mahalu, Kingunge na mamake Zitto

Wajumbe Bunge la Katiba hawa hapa, Wamo Mtikila, Prof. Lipumba, Mahalu, Kingunge na mamake Zitto

SERIKALI imetangaza majina 201 ya wajumbe kutoka makundi mbalimbali nchini walioomba kuteuliwa ili kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba.Kabla ya kutangaza majina hayo kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete, Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dk. Florence Turuka, alisema kazi ya kuwapata wajumbe wa Bunge hilo
0 Toa maoni yako.
 ICC kuchunguza uhalifu wa kivita CAR

ICC kuchunguza uhalifu wa kivita CAR

Waisilamu wamekuwa wakishambuliwa nchini CAR na sasa wameanza kutorokaMwendesha mkuu wa mashitaka katika Mahakama ya kimataifa ya jinai, ICC, Fatou Bensouda, ameanzisha uchunguzi wa uhalifu wa kivita katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.
0 Toa maoni yako.
 Bunge la Katiba laiva, JK kutangaza majina ya walioteuliwa leo

Bunge la Katiba laiva, JK kutangaza majina ya walioteuliwa leo

RAIS Jakaya Kikwete leo anatarajia kutangaza majina ya wajumbe kutoka makundi mbalimbali walioteuliwa kuingia kwenye Bunge Maalumu la Katiba.Majina hayo yanatangazwa leo baada ya Rais Kikwete kuyatema majina 3,573 ya watu waliomba kuingia kwenye Bunge hilo linalotarajiwa kuanza Februari 18 mjini Do
0 Toa maoni yako.
 CHADEMA yabaini njama Polisi, CCM

CHADEMA yabaini njama Polisi, CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimebaini hujuma zinazodaiwa kufanywa kwa ubia kati ya Jeshi la Polisi na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutaka kuanzisha vurugu kwenye kampeni za uchaguzi mdogo wa madiwani unaotarajiwa kufanyika kesho kutwa katika kata 26 nchini.
0 Toa maoni yako.
 Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu

Mwigulu: Sheria ya Ununuzi wa Umma wizi wa kistaarabu

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba.PICHA|MAKTABA Na Lauden Mwambona, MwananchiMbeya. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba ametoboa madudu aliyoyaona kipindi kifupi alichokaa kwenye ofisi hiyo baada ya kuapisha hivi karibuni.
0 Toa maoni yako.
  HABARI ZETUNdesamburo: Nitalirudisha Soko la Kiborloni

HABARI ZETUNdesamburo: Nitalirudisha Soko la Kiborloni

MBUNGE wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo (Chedema), amewahakikishia wakazi wa Kata ya Kiborloni kuwa atalirejesha soko lao la nguo na viatu vya mitumba lililohamishwa mwaka 2007.Soko hilo maarufu kwa wakazi wa mikoa ya Kilimanjaro na Arusha lilihamishwa Kata ya Kiborloni na kupelekwa eneo la Mem
0 Toa maoni yako.
 Umoja wa Mataifa wakubaliana na serikali ya Syria juu ya kutowa msaada wa kibinadamu katika mji wa Homs

Umoja wa Mataifa wakubaliana na serikali ya Syria juu ya kutowa msaada wa kibinadamu katika mji wa Homs

L'aide humanitaire va permettre de fournir une aide vitale à quelque 2 500 civils bloqués par les combats. Homs, le 27 janvier 2014.REUTERS/Yazan Homsy Na Ali BilaliUtawala wa Syria na Umoja wa Mataifa UN, wamekubaliana kutowa msaada wa kibinadamu kwa wananchi wa waliokwama katika jijini Homs
0 Toa maoni yako.
 MAGAZETI LEO IJUMAA Friday, 07 February 2014

MAGAZETI LEO IJUMAA Friday, 07 February 2014

0 Toa maoni yako.
 Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine

Marekani na EU njia panda kuhusu Ukraine

Nuland na Rais YanukovichTofauti za sera kati ya Marekani na Umoja wa Ulaya kuhusiana na mgogoro wa kisiasa nchini Ukraine zimebainika wazi baada ya kuibuka mazungumzo ya siri baina ya maafisa wawili wakuu wa kidiplomasia Kiev.
0 Toa maoni yako.
 RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LEO FEBRUARI 6, 2014 JIJINI DAR ES SALAAM

RAIS KIKWETE AZUNGUMZA NA WAJUMBE WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA LEO FEBRUARI 6, 2014 JIJINI DAR ES SALAAM

Sehemu ya viongozi wa vyama vya siasa wakiomba dua katika kikao hicho cha Baraza la Vyama Vya Siasa vyenye usajili kabla ya kuanza katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam
0 Toa maoni yako.
 Siasa noma mbio za urais sumaye aitisha ccm

Siasa noma mbio za urais sumaye aitisha ccm

MBIO za urais ndani ya Chama Cha Mapinduzi(CCM), zimezidi kuibua mambo mapya, baada yaWaziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, kudaiatachukua uamuzi mgumu kama chama chakekitateua mgombea urais asiye na sifa.
0 Toa maoni yako.
 MBUNGE IRINGA MJINI MCHG. MSIGWA AACHIWA KWA DHAMANA

MBUNGE IRINGA MJINI MCHG. MSIGWA AACHIWA KWA DHAMANA

Mbunge wa Iringa Mjini Mchg. Peter Msigwa amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mfawidhi wa wilaya ya Iringa kwa tuhuma za kujeruhi.Msigwa anatuhumiwa kutenda kosa hilo juzi kwa kumjeruhi kada wa Chama cha Mapinduzi Salmu Kaita wakati alipokuwa kwenye mikutano ya kampeni ya kumnadi mgombea wa kiti
0 Toa maoni yako.
 Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani

Taliban wajigamba na Mbwa wa Marekani

Mbwa aliyekamatwa laikuwa anatumiwa 'na kikosi maalum cha jeshi la Marekani nchini AfghanistanKundi la wapiganaji wa Taleban limesema kuwa limemkamata Mbwa kutoka kwa wanajeshi wa Marekani Mashariki mwa Afghanistan.
0 Toa maoni yako.
 Hali ya kisiasa nchini Burundi yaendelea kuchacha wakati huu mawaziri kutoka chama Uprona wakijiuzulu

Hali ya kisiasa nchini Burundi yaendelea kuchacha wakati huu mawaziri kutoka chama Uprona wakijiuzulu

Jean Claude Ndihokubwayo waziri wa maendeleo ya wilaya aliye jiuzulu nchini BurundiIWACU  Na RFIHali ya kisiasa nchini Burundi imeendelea kuwa tete, kufuatia taarifa za kujiuzulu kwa waziri mwingine wa serikali toka chama kikuu cha upinzani, UPRONA hali inayoendelea kuleta sintofahamu kati yak
0 Toa maoni yako.
 Zitto aibuka na DVD, Zimejaa hotuba za kuinanga

Zitto aibuka na DVD, Zimejaa hotuba za kuinanga

WAKATI Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, akijipanga kuanza ziara katika mikoa kadhaa nchini kujibu mapigo ya tuhuma dhidi yake zilizotolewa na baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenye ziara ya Operesheni M4C Pamoja Daima, mbunge huyo ameibuka na DVD inayowanan
0 Toa maoni yako.
 Kampeni za udiwani balaa, Ofisa Mtendaji akatwa mapanga Mbunge CHADEMA, makada 16 wapanda kizimbani

Kampeni za udiwani balaa, Ofisa Mtendaji akatwa mapanga Mbunge CHADEMA, makada 16 wapanda kizimbani

KAMPENI za uchaguzi mdogo wa madiwani zimeingia katika hatua mbaya baada ya Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ubagwe, AlphonceKimaro, kukatwa mapanga, huku Mbunge wa Maswa Mashariki, Sylvester Kasulumbayi, akipandishwa kizimbani.
0 Toa maoni yako.
 ‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’

‘Vigogo wa Suma-JKT wana kesi ya kujibu’

NA MWANANCHI MTANDAONIDar es Salaam. Vigogo saba wa Suma-JKT wanaokabiliwa na mashtaka ya matumizi mabaya ya madaraka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wamepatikana kuwa na kesi ya kujibu na kutakiwa kuanza kutoa ushahidi wao wa utetea Machi 11 na 14 mwaka huu.
0 Toa maoni yako.
 Mbunge Chadema Kortini vurugu za Udiwani Kahama

Mbunge Chadema Kortini vurugu za Udiwani Kahama

Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester Kasulumbayi.PICHA|MAKTABA Na Shija Felician, MwananchiKahama. Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki (Chadema), Sylvester Kasulumbayi na Diwani wa Kata ya Buselesele, Crispian Kagoma na watu wengine 14 wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruh
0 Toa maoni yako.
 UN yaitaka Vatican kuondoa baadhi ya mapadri.

UN yaitaka Vatican kuondoa baadhi ya mapadri.

Papa Francis katika mkutano wa waiki huko St.Peter's Square Vatikan.Kamati ya haki za binadamu ya Umoja wa Mataifa imetoa dai la kipekee la kutaka Vatican iondoe mara moja mapadri wote wanaoshutumiwa kwa kunyanyasa watoto kingono na kuwakabidhi kwa mamlaka za sheria.
0 Toa maoni yako.
 Mlemavu afaidi mkono wa Kielectroniki

Mlemavu afaidi mkono wa Kielectroniki

Mfumo wa mkono wa KielektronikiMlemavu mmoja kutoka Denmark Dennis Aabo amekuwa binadamu wa kwanza kupewa mkono wa kieletroniki wenye hisia kama ule wa binadamu.
0 Toa maoni yako.
 NANI ATAZIMA MOTO WA LOWASSA CCM

NANI ATAZIMA MOTO WA LOWASSA CCM

Nguvu ya makundi ya watu wanaotajwa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinaendelea kukitikisa chama hicho huku makada wake wakitoa angalizo wakiutaka uongozi wa juu wa kuchukua hatua haraka za kinidhamu kwa wahusika.Wiki iliyopita wanachama wa chama hicho wanaodaiwa kutoka katika kambi
0 Toa maoni yako.
 TAARIFA YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA VODACOM‏

TAARIFA YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA VODACOM‏

Mkurugenzi Mtendaji – Vodacom Tanzania,Rene Meza.Dar es Salaam, 5 Februari, 2014.Tunapenda kuwaomba radhi wateja wetu wote kwa kushindwa kutoa huduma za mawasiliano kuanzia asubuhi ya Februari 5, 2014. Hii imetokana na kukatika kwa mkonga wa mawasiliano ulioko barabara ya Morogoro na nyingine mbi
0 Toa maoni yako.
OSCAR SAMBA(OBAMA) MWANAFUNZI WA A.J.T.C AMESIMAMISHWA MASOMO CHUONI HAPO HADI TAREHE 10 MWEZI HUU.

OSCAR SAMBA(OBAMA) MWANAFUNZI WA A.J.T.C AMESIMAMISHWA MASOMO CHUONI HAPO HADI TAREHE 10 MWEZI HUU.

Kwa mijubu wa barua niliyoipokea leo inanitaka nikamlete mzazi wangu na nije nae chuoni tarhe kumi mwezi huu,katika hali ya kusangaza maeelzo hayo hayataji kusimamishwa kwangu ila yametumia tafsidaya ya kunitaka nika mlete mzazi. Jambo hili limeniuma sana na limekuja mara baada ya kuvunjwa kwa
0 Toa maoni yako.
FALISAFA ZA LEO /NUKUU

FALISAFA ZA LEO /NUKUU

Winning is not everything, but wanting to win is. BY Vince Lombardi  KUFANIKIWA SIO KUSHIDA KILA KITU BALI SUBIRA NDIO A good decision is based on knowledge and not on numbers. BY Plato  MAAMUZI MAZURI HUFANYWA KATIKA MAARIFA NASIO UMRI Experience is not what happen
0 Toa maoni yako.
Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari

Utafiti: Ngono ya mdomo ni hatari

Namna mdomo unavyoharibika kutokana na ngono kufanywa kwa kutumia mdomo. Picha ya Maktaba. Na Hadija Jumanne, MwananchiJana ilikuwa  siku ya Saratani Duniani. Wakati tunaadhimisha siku hii hapa nchini idadi ya vijana ambao ni tegemeo la taifa inazidi kupungua kutokana kuangamia kwa saratani ik
0 Toa maoni yako.
KATUNI YA MASOUD LEO

KATUNI YA MASOUD LEO

www.hakileo.blogspot.com
0 Toa maoni yako.
 Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge

Ikulu: Rais hataidhinisha mamilioni ya wabunge

Wabunge wakimsikiliza Rais Jakaya Kikwete alipokuwa akiwahutubia kwenye Ukumbi wa Bunge, mjini Dodoma, Novemba 7 mwaka jana. Picha ya Maktaba Na Mwandishi Wetu, MwananchiDar es Salaam. Ikulu imesema Rais Jakaya Kikwete hatakubali kuidhinisha kama akipelekewa ombi la kuongeza kiinua mgongo cha wabun
0 Toa maoni yako.
 Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya yaharibu silaha zake za sumu

Libya imekamilisha uharibifu wa silaha za kemikali katika mpango ulioanza miaka tisa iliyopita chini ya uongozi wa aliyekuwa rais, Muammar Ghaddafi.
0 Toa maoni yako.
 Tanzania yakamata dawa za kulevya

Tanzania yakamata dawa za kulevya

Dawa ya kulevya aina ya Heroine na bomba la sindanoPolisi nchini Tanzania wamekamata shehena ya dawa za kulevya aina ya Heroin zenye uzito wa kilo 201 katika eneo la bahari kati ya Dar es Salaam na Zanzibar nchini humo.
0 Toa maoni yako.
TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA ONGEZEKO LA MALIPO YA PENSHENNI KWA WABUNGE.

TAARIFA KWA UMMA KUHUSIANA NA ONGEZEKO LA MALIPO YA PENSHENNI KWA WABUNGE.

JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA WIZARA YA FEDHA TANGAZO KWA UMMA Katika siku za hivi karibuni, baadhi ya magazeti yamekuwa yakitoa taarifa za upotoshaji juu ya suala la kuongezeka kwa malipo ya pensheni kwa Waheshimiwa Wabunge. Magazeti hayo yanadai kwamba Mheshimiwa Waziri wa Fedha a
0 Toa maoni yako.
 HABARI ZETURAIS KIKWETE AKUTANA NA MHIFADHI WA SOKWE DKT.JANE GOODALL

HABARI ZETURAIS KIKWETE AKUTANA NA MHIFADHI WA SOKWE DKT.JANE GOODALL

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsikiliza mhifadhi wa Sokwe wa kimataifa Dkt.Jane Goodall wakati mhifadhi huyo alipomtembelea Rais Ikulu na kumwelezea kazi zake mbalimbali za uhifadhi nchini.Dkt.Goodall anajihusisha na uhifadhi wa Sokwe katika hifadhi ya Gombe mkoani Kigoma na kazi yake imeipatia
0 Toa maoni yako.
HALI YA MSANII WA BONGO MOVIE MAINDA SI NZURI ,.YU HOI KITANDANI ANAUMWA ,WADAU DUA ZENU ZINAITAJIKA

HALI YA MSANII WA BONGO MOVIE MAINDA SI NZURI ,.YU HOI KITANDANI ANAUMWA ,WADAU DUA ZENU ZINAITAJIKA

Msanii wa Filamu Bongo,Ruth Suka 'Mainda',akiwa Hospitali na mmoja wa wauguzi wahospitali hiyo ambayo jina lake hakutakakulitaja mara moja.
0 Toa maoni yako.
Mbowe amlipua JK

Mbowe amlipua JK

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amemvaa Rais Jakaya Kikwete, akimtaka kuacha kutafuta huruma ya Watanzania juu ya suala la Katiba na badala yake atumie nafasi hiyo kuwataka wabunge wake kuheshimu maoni ya wananchi.
0 Toa maoni yako.
 VITA YA URAIS CCM YAWAPELEKA MWINYI, MKAPA DODOMA

VITA YA URAIS CCM YAWAPELEKA MWINYI, MKAPA DODOMA

KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inatarajiwa kukutana mjini Dodoma Jumapili wiki hii, huku Baraza la Ushauri linaloundwa na marais wastaafu, likitarajiwa kuwasilisha taarifa ya hali ya chama hicho. (HM)
0 Toa maoni yako.
 Kesi ya mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 inatazamiwa kusikilizwa nchini Ufaransa

Kesi ya mauaji ya halaiki yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 inatazamiwa kusikilizwa nchini Ufaransa

Picha ya zamani ya Pascal SimbikangwaInterpolNa RFIMahakama kuu mjini Paris nchini Ufaransa inatarajia kuskiliza hii leo kwa mara ya kwanza kesi ya mauaji ya kimbari yaliotokea nchini Rwanda mwaka 1994 ikiwa ni miaka ishirini tangu mauwaji hayo yatokee. Mtuhumiwa Pascal Simbikangwa mwenye umri wa m
0 Toa maoni yako.
 Kucheleweshwa kesi kunachangia mlundikano wa mahabusi: Jaji mkuu Tanzania.

Kucheleweshwa kesi kunachangia mlundikano wa mahabusi: Jaji mkuu Tanzania.

Kikwete akihutubia bunge la Tanzania.Tanzania Jumatatu imeadhimisha siku ya sheria nchini humo huku changamoto kubwa ikiwa ni utoaji haki kwa wakati kutokana na matatizo yaliyopo kwenye mfumo wa mahakama nchini humo.
0 Toa maoni yako.
 WHO yaonya kuhusu wimbi la Saratani

WHO yaonya kuhusu wimbi la Saratani

Uraibu wa pombe na sigara husababisha sarataniShirika la Afya duniani WHO limeonya kuhusu kuibuka kwa wimbi baya la maambukizi ya ugonjwa hatari wa saratani kote duniani.
0 Toa maoni yako.
 SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI

SIKU YA SHERIA DUNIANI YAFANYIKA MKOANI DODOMA, WALIA NA UPUNGUFU WA MAJAJI

Wakili wa Serekali Mfawidhi mkoa wa Dodoma, Angaza Mwaipopo akifafanua jambo wakati wa sherehe ya siku ya sheria mjini Dodoma leo.
0 Toa maoni yako.
 JK awafyatua wasaka urais; Ahoji walikuwa wapi hadi wagawe rushwa sasa, Atetea mawaziri ‘mizigo’, adai CC ilitimiza wajibu

JK awafyatua wasaka urais; Ahoji walikuwa wapi hadi wagawe rushwa sasa, Atetea mawaziri ‘mizigo’, adai CC ilitimiza wajibu

RAIS Jakaya Kikwete amewaponda wanasiasa wanaopigana vikumbo ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakisaka uongozi kwa rushwa ya fedha na vijizawadi kwa wananchi, akihoji walikuwa wapi wakati wote.
0 Toa maoni yako.
 Mkakati mpya CHADEMA, Ni okoa mikoa ya Pwani, Lindi, Mtwara

Mkakati mpya CHADEMA, Ni okoa mikoa ya Pwani, Lindi, Mtwara

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimetangaza mkakati mpya wa kupiga kambi katika mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara kikidai wananchi wake wametelekezwa kwa makusudi na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
0 Toa maoni yako.
 Dmytro Bulatov kutibiwa Lithuania

Dmytro Bulatov kutibiwa Lithuania

Kiongozi wa waandamanaji UkraineDmytro Bulatov alionekana kwenye runinga juma lililopita sikio lake likiwa limekatwa na akiwa na jeraha usoni, akadai kuwa alitekwa na watu asio wajua na kuteswa kwa siku nane .Hali yake iliibua hamaki miongoni mwa maelfu ya waandamanaji wanaomtaka rais Viktor Yanuko
0 Toa maoni yako.
 Mafuriko ya CHADEMA yaibomoa CCM

Mafuriko ya CHADEMA yaibomoa CCM

HARAKATI za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) za kujiimarisha, jana zilizidi kupata nguvu mpya baada ya vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha, mkoani Pwani kujiunga nacho.Makada watatu wa CCM akiwemo aliyekuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini mwaka 2010, Dk. Rose Nk
0 Toa maoni yako.
 JK AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MBEYA

JK AONGOZA MATEMBEZI YA MSHIKAMANO MBEYA

HIVI SASA ANATOA HUTOBA YAKE,ANASIFIA MAFANIKIO YA MAJI,MBEYA,AFYA NA UMEME Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza matembezi ya mshikamano katika kuadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi ,matembezi hayo yalianzia Soweto
0 Toa maoni yako.
WASANII WA MOVE BONGO WAFURIKA SIKUKUU YA CCM LEO MBEYA WAPO JB,MBOTO NA WENGINEO

WASANII WA MOVE BONGO WAFURIKA SIKUKUU YA CCM LEO MBEYA WAPO JB,MBOTO NA WENGINEO

www.hakileo.blogspot.com
0 Toa maoni yako.
Pages (26)1234567 Next
 
Support : Creating Website | SAMBA Template | HAKI LEO Template
Copyright © 2011. HAKI LEO - All Rights Reserved
Template Created by Creating Website Published by HAKI LEO Template
Imewezeshwa na Haki Leo Company